Showing posts with label events. Show all posts
Showing posts with label events. Show all posts

Oct 18, 2014

Barua ya BASATA kuhusu kibali cha TI na Davido kwenye Fiesta 2014

  No comments    
categories: 

Nakala iliyopachikwa hapo chini inaonesha barua yenye majibu ya Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa Prime TIme Promotions kuhusu maombi ya kibali cha kumwingiza msanii Clifford Harris (TI) na David Adedeji Adeleke (Davido) nchini kwa ajili ya tamasha la Fiesta 2014 lililopangwa kufanyika katika viwanja vya Leaders Club tarehe 18 Oktoba, 2014.

(via ukurasa wa Vinega, Facebook)

Aug 2, 2014

TUBONGE ndani ya NEW MAISHA CLUB Dar es Salaam

  No comments    
categories: ,

IMG_0428 IMG_0432 IMG_0447 IMG_0461 IMG_0477
Vanessa Mdee usiku wa jana pale New Maisha Club alipiga show kali sana asikwambie mtu aisee, big up Vanessa
IMG_0543
HK ndio alikuwa MC wa show hii ya Tubonge
IMG_0554 IMG_0557 IMG_0561
Msanii Mirror nae alikuwepo na alifanya show nzuri pia
IMG_0586
HK akimkaribisha kwa steji msanii Jose Chameleon
IMG_0606 IMG_0618 IMG_0624 IMG_0639
Jose Chameleon alipanda kwa steji na akapiga show moja matataaaaa huku akiwasuprise watanzani kwa kuwaita kwa steji wasanii nguli wa bongo fleva namzungumzia FEROOZ pamoja na PROF JAY
IMG_0645
Ferooz
IMG_0656 IMG_0671
Prof Jay
IMG_0681 IMG_0690 IMG_0693 IMG_0702 IMG_0716

May 5, 2014

(Video) Show ya Young Killer ndani New Maisha Club

Young Dee..nzuri zaidi_full 



                                  
                                                  Twitter: @benixmatrix
                                       Facebook Fans Page: matrixraptz
                                               Instagram: @benixmatrix

May 1, 2014

(Photo’s) :Uzinduzi wa Video ya wimbo wa Weusi 'GERE'

  No comments    
categories: , ,

Weusi Kundi linaloundwa na rappers kutoka Arusha, Joh Makini, Nick wa Pili, G-Nako na Bonta jana usiku (April 30) walizindua video ya wimbo wao unaofanya vizuri hivi sasa ‘Gere’ kwenye hotel ya Meditteraneo iliyopo jijini Dar es Salaam

Uzinduzi ulihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo ndugu,jamaa na marafiki na wasanii wenzao na wadau wa muziki nchini







Mar 24, 2014

Toxic beat jampack ...this saturday at new msasani club

Hii ni kanda mseto ya kwanza kutoka kwa Ringo beats,usikose copy yako kwa
3000 tuu,midundo 16 toka kwa Ringo Beats

Nov 2, 2013

TANGA : BACK 2 COLLEGE BASH NDANI YA CLUB LACASA CHICA

  No comments    
categories: 
Ni siku ya tarehe 10 mwezi wa kumi na  moja ndani ya club LACASA CHICA tanga back2college bash itawasha moto wake kwa kiingilio cha tsh 3000/= ,college zote za tanga zitajumuika pamoja kushangweka chini ya dj badfuvu na dj pirlo

 Kutakuwa na muziki mzuri kutoka kwa madj waliojipanga,dance na waale wenye vipaji hii ndio nafasi ya kuonyesha kile ulichonacho.USIKOSEEEE.