Showing posts with label News. Show all posts
Showing posts with label News. Show all posts

Oct 29, 2014

Kauli za Bosi Wa YMCMB "Birdman" Kuhusu Beef Ya Drake Na Tyga.

  No comments    
categories: 

 












Boss wa Cash Money records Birdman amekaa chini hivi karibuni na kuzungumzia beef ya wasanii wake Drake na Tyga inayopelekea wasanii hawa kutofanya kazi pamoja na kuchukiana. 


Birdman anasema

1.Naongea na kubadilishana message na Drake kila siku ila mpaka sasa sijaongea naye kuhusu hili swala.

2] Huwezi kumfananisha Drake na Tyga, Drake ni Drake, namba hazidanganyi, jamaa anauza sana album, hakuna msanii anayefanya anachofanya ikija kwenye swala la kutengeneza muziki bora.

3] Kama Tyga amemdiss Drake kwenye Wimbo wake wa 'Make It Work' ni kawaida kwani Drake anaweza mfanya msanii yeyote amwandikie wimbo.

4] Tyga bado yupo YMCMB Ila sipendi matusi na kejeli zake atabidi afanya maamuzi kama anabaki au anatoka.

Oct 27, 2014

Tng All Star Sunday Bonanza

  No comments    
categories: 
Tng All Star Twenzetu Sunday Bonanza / anza Kustua Ndugu Maujanja Kuyasambaza / muda Ndo Huu Umeshafika Okoa Sanaa / shika Kipaza Na Kisha Wakilisha Kitaa / Graphic Design / model Mitindo,Artist, Dancers Djs Na Freestyle Wastue Wana / akuna Malipo Pia Free Kujichanganya. Eneo la TUKIO NI JENGO LA NASACO zamani ilikuwa MERIDIANI. kuanzia jumapili ya tarehe 2 / 11 / 2014 saa 8:00 Mchana #Atl

Oct 18, 2014

Tizama Fiesta 2014 LIVE online

  No comments    
categories: 


Itaoneshwa kupitia link ya tanzaniabox.com...fiesta-live

Mwana FA ft Alikiba. Wimbo mpya ‘Kiboko Yangu’ kuachiwa wiki ijayo

  No comments    
categories: , ,

















Mwana FA aka Binamu anatarajia kuachia single mpya ‘Kiboko Yangu’, ambayo amemshirikisha Alikiba Ikiwa ni miezi mitano imepita toka aachie ‘Mfalme’.
FA na KIba
Binamu ambaye pia anatarajia kupanda kwenye jukwaa la ‘Serengeti Fiesta’ leo (October 18) akiwa na ‘surprises’ kibao, ameiambia Bongo5 kuwa Jumatano ijayo (October 22) single ya ‘Kiboko Yangu’ itakuwa tayari kwenye vituo vya radio.
Kabla hajaachia ‘Mfalme’ May, 2014, Hamis Mwinjuma alikuwa amepanga aanze kutoa ‘Kiboko Yangu’ ambayo ilikuwa tayari imerekodiwa kwenye studio ya MJ Records kabla ya ‘Mfalme’, lakini mipango ilibadilika.

Oct 17, 2014

Hatua na njia za kupata collabo na msanii mkubwa na jinsi ya kupenya soko la US

  No comments    
categories: 

 













Meneja wa T.I. na CEO wa Grand Hustle Records, Jason Geter amesema ili msanii wa Afrika aweze kupata collabo na msanii mkubwa wa Marekani, anahitajika kuwa na ushawishi katika sehemu anayokotoka ili awe na kitu cha kumuongezea pia msanii huyo anayetaka kumshirikisha.
Meneja wa T.I, Joson Gete akizungumza na wadau wa muziki Dar Jason Geter

Akiongea kwenye warsha iliyoandaliwa maalumu kwaajili ya wadau wa muziki nchini Ijumaa hii, Geter alitolea mfano wa jinsi T.I. alivyokubali kufanya wimbo na P-Square. Alisema alipigiwa simu na rafiki yake aliyemueleza kuwa kundi la P-Square lingetaka kumshirikisha T.I. kwenye wimbo wake lakini bahati mbaya hakuwahi kuwasikia wasanii hao.
“Kiukweli nilikuwa sijawahi kuwasikia kabla, kwasababu Marekani hawachezwi kivile, nina uhakika baadhi ya watu wanawafahamu lakini watu wengi Marekani hawawafahamu kabisa P-Square,” alisema.
Geter alidai baada ya kuambiwa hivyo aliamua kufanya utafiti wake mwenyewe ili kuwafahamu wasanii hao na hivyo aliingia Youtube kuwatazama. “Nilipoenda kufanya utafiti wangu, nikasema wow, hawa jamaa ni wakubwa,” aliongeza.
Alidai baada ya kuona ukubwa wake, aliona kuwa P-Square wana kitu cha kumuongeza T.I.
“Sababu mashabiki wengi wa P-Square wanaweza kuwa hawajawahi hata kumsikia T.I. Kwahiyo hicho ndio kitu cha kwanza kwamba utaenda kumuongezea nini msanii wangu. Msanii wangu ana msingi wa Marekani kukupa, wewe utaweza kumtambulisha kwa kitu kingine?”
Aliongeza kuwa hatua ya pili inahusisha masuala ya fedha na biashara ambapo huusikiliza wimbo anaotaka kushirikishwa msanii huyo. Alisisitiza kuwa mara nyingi suala la fedha au malipo ya collabo sio kitu wanachokiweka mbele zaidi ya kuzingatia kuwa ni nini msanii wake atakipata kutokana na kushirikishwa kwenye wimbo huo.
“Sawa unayo fedha, sasa hatua ya pili, kitu gani unaweza kukioffer kwake, una kitu cha kuoffer kwa msanii wangu? Je wimbo ni mzuri? Kwahiyo hivyo ndio vitu ambavyo unahitaji kuvifikiria. Na mwisho wa siku zote unatakiwa kulinda brand yako.”
Kuhusu njia anayotakiwa msanii kufanikiwa katika soko la muziki wa Marekani, Jason alisema jambo la kwanza ni kuwa na ukaribu na watu kama yeye ambao wana connection na watu wengi pamoja na brands ambazo zimesimama nchini humo. Geter alidai kufanya wimbo na msanii wa Marekani peke yake, haitoshi kwa msanii wa Afrika kufanikiwa kwenye soko la Marekani.
“T.I. alifanya ngoma na P-Square, lakini kiukweli, inahitaji zaidi ya hivyo kupenya soko la Marekani,” alisisitiza Geter. “Inahitaji T.I. na P-Square kwenda kwenye game ya basketball pamoja na kutembea pamoja. Inahitaji uwekezaji huo wa muda kwa msanii wa Afrika kutumia muda kukaa kwenye soko la Marekani.”
Geter alisisitiza kuwa kama msanii anataka kufanikiwa Marekani, anatakiwa kutake risk kwa kuacha fedha nyingi anazopata Afrika na kukubali kupata kidogo Marekani wakati anakuza jina lake. “Kama unaingiza dola 5 Afrika, unaweza kuja Marekani na utakuwa na bahati sana ukipata sehemu sahihi ambazo unaweza ukapata hata dola moja tu. Ni kazi sana kwa watu kuwekeza muda wa aina hiyo na nguvu katika chochote kile, hiyo ndio changamoto kubwa.”
Geter alisema hilo linawezekana kwa kuingia ubia na watu ambao tayari wana nguvu huko kukusaidia.
Kuhusu lugha ambayo msanii anatakiwa kutumia, Geter alisema muhimu ni kufahamu kuongea Kiingereza lakini sio lazima nyimbo ziwe za lugha hiyo kwakuwa muziki unaweza kufanya vizuri hata kama ukiwa umeimbwa kwa lugha nyingine.
“Lakini yote ni kuwa kile ambacho tunafanana ni rhythm. Ni ile beat inayonifanya nicheze na pia hisia ambayo inagusa moyo. So in America to get played on radio and all that stuff, yes you need to know some English but if you got that beat right, we gonna move man.”
Msikilize zaidi hapa,.

Jinsi ya kujipatia nguo za T.I Dar es salaam!

  No comments    
categories: 

akoo
Tunajua kwamba mmoja kati ya Wageni waliochukua headlines kwenye tamasha la muziki la Fiesta linalofanyika Jumamosi hii ya October 18 2014 Leaders Dar es salaam ni rapper T.I kutokea Marekani ambae hii ndio itakua mara yake ya kwanza kukanyaga Afrika.

T.I  2
Tayari sehemu ya timu yake imeshatua Tanzania akiwemo meneja wake pamoja na mizigo kadhaa ndani yake ikiwa na nguo kutoka kwenye clothing line ya T.I ambapo nguo hizi zitauzwa kwa Watu mbalimbali pale Dar Free Market Osterbay kuanzia saa nne asubuhi ya October 18.

Oct 16, 2014

Rick Ross Kutoa Album Mbili Mwaka Huu.

  No comments    
categories: ,
Baada ya rapper Rick Ross kutoa album yake ya Mastermind Marcha mwaka huu, rapper huyu kutoka Miami ametangaza album ya pili inayotoka mwaka huu pia, album hii ni 'Hood Billionaire' .

Ujumbe wa album hii kwa mujibu wa Rick Ross ni kulisha mitaa na muziki wake, itakuwa album ya mitaa yote.

Hood Billionaire inatoka November 24 na wameshirikishwa wasanii kama R. Kelly kwenye “Keep Doin’ That (Rich Chick)” na “Elvis Presley Blvd” na  Jay Z pia yupo kwenye cd hii.

Wyre apewa haki za kuirudia ‘Inde Monie’ na Kanda Bongo Man

  No comments    
categories: 















Muimbaji wa dancehall, Wyre aka The Love Child kutoka Kenya amesema amepewa haki za kuirudia hit song ya mkongwe wa Soukous kutoka DRC, Kanda Bongo Man iitwayo ‘Inde Monie’.
Wyre na Bongo Man
Wyre ameiambia GHAFLA kuwa tayari ameachia audio ya ‘Inde Monie’ (rendition) na hivi sasa yuko kwenye mipango ya kutoa video.
“Kanda Bongo Man alinipa haki za kuurudia wimbo wake miezi kadhaa iliyopita tulipokuwa tukitumbuiza Juba”.



Oct 15, 2014

Snoop Dogg amaliza beef na Iggy Azalea baada ya kushauriwa na T.I

  No comments    
categories: , ,













 
Hatimaye Snoop Dogg amemuomba msamaha rapper wa Australia Iggy Azalea baada ya utani uliozaa beef wiki hii kupitia Twitter na Instagram.
Snoop n Iggy
Snoop alipost clip ya video Instagram siku ya Jumatano October 15 akimuomba msamaha Iggy na kusema amefikia uamuzi huo baada ya kuongea na rapper T.I anayetarajiwa kuwarusha mashabiki wa Tanzania Jumamosi hii pale Leaders club, ambaye ni rafiki wa Iggy na Snoop.
“Boys and girls, I just got off the phone with my boy Tip, the king of Atlanta, and it’s officially over. No more bad talk, I apologize. I apologize. I’m sorry, I won’t do it again,” hayo ni maneno aliyoyazungumza kwenye clip hiyo yenye caption “It’s over I’m bac on my cool s**t no harm no foul. #ifitaintaboutthe much love @troubleman31t respect sorry bout that.”

Iggy hakua na hiyana bali amepokea na kumsamehe Snoop kwa kuandika,

“I appreciate the apology @snoopdogg. Let that be that people, time to focus on the positive things I’ve got going on. no time to dwell on the negative,”
Beef ya wawili hao ilianza siku chache zilizopita baada ya Snoop kumtania Iggy kwa kupost picha ya utani (meme) Instagram inayomwonesha msichana albino na kuandika “Iggy Azalea No Make Up”.

mavazi ya T.I : Hustle Gang, Akoo pamoja na Strivers Row kuzinduliwa jijini Dar es Salaam

  No comments    
categories: ,















Baada ya Tamasha la Fiesta kutangaza rasmi kuwa rapa na mshindi wa tuzo za Grammy, T.I wa Marekani kuwa ndiye msanii mkubwa wa kimataifa atakayekuja kutoa burudani siku ya kilele chake hapa Dar es Salaam, leo pia imetangazwa rasmi kuwa mavazi ya T.I ya Hustle Gang, Akoo pamoja na Strivers Row nayo yatazinduliwa rasmi katika duka la Pop Up Shop lililopo katika super market ya Dar Free Market siku ya tarehe 18-October, 2014.


akoo27

Akizungumzia uzinduzi huo wa mavazi ya T.I, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Grand Hustle Records, Jason Geter ambayo ndio kampuni inayomsimamia msanii B.O.B na mwanadada anayekuja kwa kasi Iggy Azalea, alisema anaamini soko la Tanzania na Afrika kwa ujumla ni masoko makubwa kwa bidhaa zao.
‘Tuna matarajio makubwa kuhusiana na kuleta bidhaa zetu nchini Tanzania, na tunatarajia sio tu kuleta bidhaa zetu hapa nchini, bali kwenda mbali zaidi kwa kujifunza soko la mitindo hapa nchini’ alisema Geter.

Duka la Pop Up litafunguliwa kuanzia saa nne kamili asubuhi hadi saa tisa mchana ambapo wateja watapata fursa ya kununua nguo halisia za Hustle Gang, Akoo na Strivers Row Clothing, huku wamiliki wa maduka wakiweza kutazama bidhaa tofauti na kuagiza oda zao.
Tamasha la Fiesta ambalo linajulikana kama tamasha kubwa na lenye mafanikio zaidi kwa Afrika Mashariki na Kati likiwa na wahudhuriaji wasiopungua 500,000 kwa mwaka huku likijivunia wasanii wakubwa waliowahi kutoa burudani miaka ya nyuma kama Ludacris, 50 Cent, Rick Ross na wengineo.
Mwaka huu kilele cha tamasha la Serengeti Fiesta kitafanyika tarehe 18 mwezi wa kumi katika viwanja ya Leaders jijini Dar es Salaam.

Tudd Thomas: Mwaka 2015 utakuwa mgumu na wenye ushindani zaidi kimuziki

  No comments    
categories: ,















 Producer wa ‘Mdogo Mdogo’ ya Diamond, Tudd Thomas amedai kuwa mwaka 2014 ulikuwa mwaka wa mafanikio kwa muziki wa Bongo lakini mwaka ujao utakuwa mgumu kutokana na ushindani ulioanzishwa mwaka huu.
Tuddy Thomas
Akizungumza na Bongo5 jana, Tudd alisema mwaka huu watayarishaji wa muziki wa Tanzania wamefanya kazi kubwa.
“Mwaka huu naufananisha na mwaka 2012, mwaka huu mambo makubwa yamefanyika katika production za muziki hapa bongo. Ukiangalia Man Walter kafanya, Nahreal, Marco Chali, mimi na ma-producer wote wamefanya poa sana. Lakini mwaka ujao ukatua mgumu sana, kila producer atataka afanye kitu ambacho kitamfanya aonekane anastahili. Kwahiyo 2015 ni pasua kichwa sio kwa wasanii pekee hata producers ushindani utakuwa mkubwa sana na huo ushindani ndo utaufanya muziki wetu kwenda mbali zaidi,” alisema Tudd.

Pia Tudd alisema mfumo wake alioanzisha mwaka huu wa kutayarisha nyimbo 5 ama 6 kwa mwaka ni mzuri na utamfanya afanye kazi zake kwa umakini zaidi.
“Kila mtu ana utaratibu wake, mimi kwa mwaka nafanya nyimbo 5 au 6 tu. Huu utaratibu unawapa fursa producers wengine kuonekana. Ukiangalia mwaka huu nyimbo zangu zote nilizofanya ziko vizuri kwenye rotation ya muziki sasa kama ningefanya nyingi zaidi najua kuna watu ningewanyima nafasi kutokana na mimi kuonekana kila sehemu. Pia kufanya nyimbo chache kwa mwaka zinakupa uwezo na nafasi ya kufanya kazi zako kwa utulivu zaidi.”

Sep 24, 2014

Maisha Ya Ndoa Ya Amber Rose Na Wiz Khalifa Yafikia Kikomo.

  No comments    
categories: 

0924-amber-wiz-tmz-2 
Tmz wameripoti kuwa model Amber Rose ameomba talaka kutoka kwa mume wake ambaye wameishi pamoja kwa muda  wa mwaka moja. Amber anasema yeye na mumewe wametengana kuanzia Jumatatu na anataka haki zote za malezi za mtoto wao Sebastian mwenye umri wa mwaka mmoja.

Tofauti na ndoa za wasanii wengine zikivunjika hugawana pesa na mali, Amber alisainishwa makubaliano ya kutochukua mgao wa pesa au mali kutoka kwa mumewake endapo watatengana.

Hawa Ndio Wasanii Wa Hiphop Wenye Pesa Zaidi Duniani

  No comments    
categories: 
dre
Dr Dre ametajwa kuwa msanii wa hiphop mwenye pesa zaidi duniani akishikilia namba moja na kumpita Puff Daddy aliyekuwa nafasi hio mwaka jana. Dr Dre ametajwa kuwa na utajiri wa dola za Kimarekani milioni 620. Jay Z na Puff Daddy wameshikilia namba mbili wakiwa na dola milioni mbili 60 hii ikiwa hatua kubwa Jay z amepiga toka mwaka 2010.
  1. Dr. Dre – $620 million
  2. Jay Z – $60 million
  3. Diddy – $60 million
  4. Drake – $33 million
  5. Macklemore & Ryan Lewis – $32 million
  6. Kanye West – $30 million
  7. Birdman – $24 million
  8. Lil Wayne – $23 million
  9. Pharrell Williams – $22 million
  10. Eminem – $18 million
  11. Nicki Minaj – $14 million
  12. Wiz Khalifa – $13 million
  13. Pitbull – $12 million
  14. Snoop Dogg – $10 million
  15. Kendrick Lamar – $9 million
  16. Ludacris – $8 million
  17. Tech N9ne – $8 million
  18. Swizz Beatz – $8 million
  19. 50 Cent – $8 million
  20. Rick Ross – $7 million
  21. J. Cole – $7 million
  22. DJ Khaled – $7 million
  23. Lil Jon – $7 million
  24. Mac Miller – $7 million

Sep 16, 2014

Kaa tayari: Double release ya G Nako – Jumanne 23/9/2014

  No comments    
categories: ,
download

Mkali wa single Mama Yeyo anatambulika kwa jina la kisanii G-NAKO kutoka kundi la WEUSI, Jumanne ya tarehe 23 mwezi huu wa 9 anatarajia kuachia vibao vyake viwili vikali. G-Nako nako anawaomba mashabiki wake wawe tayari kwa kumpokea na ujio mwingine na zitakuwa Exclusive on MKITO.COM, kuhusu kamshirikisha nani na kafanya studio gani majibu yote yatajulikana siku hiyo.

Aug 13, 2014

Young Money Tyga aachana na mchumba wake ‘Blac Chyna’

  No comments    
categories: 
Rapper kutoka Young Money Tyga inadaiwa ameachana na mchumba wake ‘Blac Chyna’ ambaye wamepata mtoto mmoja anaye itwa ‘King Cairo’.
tyga-n-son
Kwa mujibu wa mtandao wa Tmz wameripoti kuwa Blac bado hajakubali kumwachia Tyga Weekend iliyopita Tyga alifanya Pool Party na kualika watu maarufu kama Chris Brown na mdogo wake Kim Kardashian ‘Kylie Jenner’ ila Blac hakualikwa.
Tyga na Blac wamekuwa wapenzi toka mwaka 2011 na kuwa wachumba December 2012.

Aug 6, 2014

Kenyan Rapper Says Ray C And The Late Ngwair Sunk Him Deeper Into Drug Addiction

  No comments    
categories: 
Kenyan hip hop rapper G rongi has revealed that Tanzanian artists such as Ray C and Mangwair got him to sink in deeper into drug addiction that almost killed his rap career.

G rongi who is now based in Paris , France says he lost everything he had and ended up roaming the streets as a homeless person in Mathare. It was then that his family traced him and took him to rehab.

The rapper who was speaking to Mzazi Willy M Tuva's Girongi revealed that he was in the same drug rings with the late Mangwair just one year before the Tanzanian rapper died. "I did drugs with big Tanzanian artists the likes of Ray C and rapper Mangwair who were all heavy consumers of hard drugs" adding that he was really affected when he learnt of his death.

G rongi now makes two the number of artists who have emerged from the dark past of drug addiction from the same drug ring. Ray C who was in the same crew recently left the rehab and has since started a foundation dealing with drug abuse.

The Fyatua rapper will be launching his new video "Mukurino" which is a kikuyu term that loosely translates to "who is the savior". According to G rongi the song is meant to provoke thoughts of people stuck in various predicaments, that they are their own saviors.

The Dandora bred rapper also revealed that he would jet back into the country in February 2015 to launch his album which he is going back to finalise in Paris

1st Time in Africa: Nicki Minaj set to perform her new single ‘Anaconda’ at TribeOne Festival

  No comments    
categories: 


Concert goers in South Africa and the rest of the continent, will have a privilege of seeing Nicki Minaj performing her new and number one hit on iTunes, Anaconda next month.
homepage banners2_0006_Layer Comp 7
The YMCMB first lady dropped her most anticipated single this week and topped the iTunes charts in no time. It accomplished the feat after about 24 hours of availability. She also teased a snippet for its video on her Instagram page. Based on what have seen on the snippet, it will undeniably be a very steamy and mouth-watering music video..

Damn, we can’t wait to see it
If that is not enough, her fans will probably get a glimpse of her hot verse on Beyonce’s Flawless remix where she is claiming her ‘Queen of Rap Dynasty’.
Nicki Minaj will join her US counterparts, Macklemore and Ryan Lewis, J Cole and Kid Ink alongside hot African acts at the biggest music festival ever to touch African Continent, Tribe One. TribeOne Dinokeng Festival hosted in the beautiful City of Tshwane, less than two months away, the line-up just gets bigger and more prominent as the festival approaches. It’s no secret that the musical talent on the African Continent has fast become a major force to be reckoned with.
TribeOne Dinokeng has provided a long-awaited platform to showcase the crème de la crème from around the world and Africa – all in the mining town of Cullinan during a 3-day mega music fest!
Ticket Sales went live from Thursday 3 July! Make sure you don’t miss out on the music weekend experience of a lifetime, previously only experienced in international shores, now right here in Africa and South Africa for the first time within only one hour from Johannesburg and 15 minutes from Pretoria in the historic mining town of Cullinan, Tshwane, South Africa.
With such amazing Pan African and local talent gracing the stages of TribeOne Dinokeng festival, being branded Africa’s Biggest Music Festival is no coincidence and where else can a festival of this magnitude be hosted than just outside South Africa’s beautiful and adventurous Capital City, City of Tshwane.
Subscribe to the official TribeOne site here and keep up to date with the over 300 artists to be announced and more to follow.
THE FIRST PART OF THE LINE-UP ANNOUNCED TO DATE:
US: Nicki Minaj, Macklemore and Ryan Lewis, J Cole, Kid Ink South Africa: The Parlotones, Khuli Chana, AKA, Gangs of Ballet, Karen Zoid, Taxi Violence, Tailor, Shadowclub, Zebra and Giraffe, Al Bairre, Desmond & The Tutus, Shortstraw, Wrestlerish, Kwesta, Samuel Miller, Rouge, The Dollfins, David & Goliath, Veranda Panda, New Academics, Lacey May, Beatenberg, Gang of Instrumentals, MXO & The Peppercorns, Royal K, Beat Army, Ricardo da Costa, Mark Stent, Lady Lea, Tommy D, Roger D’lux, House Hold Funk, Kyle Watson Hong Kong / China: Tenashar Uganda: Keko, Naava Grey Zambia: Slap Dee, Winky D Kenya: Redsan, Nameless, Xtatic and Jaguar Tanzania: Alikiba Namibia (NAMA Category Award Winners): Namibian Music Award winning stars Gazza, Erna Chimu, Elvis se Seun Gabon: Ba’ponga Burundi: Hope Senegal: Takeifa, Souadou and Ousmane DRC: Fally Ipupa

Aug 5, 2014

AY azungumzia wanachokifanya White House, wanatumbuiza leo (usiku kwa Washington)

  No comments    
categories: 

Rapper Ambwene Yessaya ambaye yupo jijini Washington DC, Marekani pamoja na wasanii wengine, leo wanatumbuiza mbele ya viongozi mbalimbali wa Marekani na Africa. Show hiyo inafanyika kwenye ukumbi wa Newseum mjini DC.
BuPIDqBCUAEC443.jpg large Hii ndio stage ambayo AY na wenzake watatumbuiza
“Jana (juzi) ilikuwa ni tour ya kwenda white house na nini, kuelezewa mambo ya mule ndani na baadaye usiku tukafanya rehearsal mpaka usiku wa manane,” AY aliiambia Bongo5 jana. “Leo (jana) sasa ndo kila kitu, watu tunakutana kwaajili ya kujadili na baada ya hapo tutafanya show leo usiku. Chochote kitakachojadiliwa nitawajuza. Kesho pia ni kuna mkutano mwingine, pia viongozi mbalimbali marais wako hapa wanawasili na mwenyeji mkuu yuko hapa, kesho pia kutakuwa kuna dinner white house,” alisema.

Kundi la Rockaz laingia studio, Quick Rocka azungumzia ujio wao

  No comments    
categories: 
Rapper Quick Rocka aka Switcher amesema baada ya kiongozi wa kundi la Rockaz, Chief Rocka kumaliza masomo yake nchini China na kurejea nyumbani, kundi hilo limeingia studio kurekodi nyimbo mpya.
10522783_321302038047755_248808928_n Quick, Chief na Dau Rocka wakiwa studio

Quick amesema wimbo mpya atakaosikika utakuwa wa kundi hilo. “Project inayokuja baada ya Sukido sio ya Quick Rocka tena. Sasa hivi inakuja Rockaz as a crew,” amesema. Hata hivyo rapper huyo amesema katika wimbo mpya wa kundi lao hawatasikika wote. “Single inayofuata ndio tutafanya as a crew wote lakini sasa katika kutengeza misingi na nini tutaanza watu wawili, mimi na Chief.”
Hata hivyo kwenye picha ya Instagram, Quick anaonekana akiwa studio pamoja na Chief na Dau Rocka hali inayoonekana kuwa wanaweza kuwa watatu kwenye wimbo huo.
Rockaz linaundwa na Chief Rocka, Quick Rocka, Mo Rockana Dau Rocka.

Aug 3, 2014

More on Beyonce and Jay Z's impending rumoured divorce...

  No comments    
categories: 

Despite sharing this pic of her nail art with her husband's initial on it (pictured left), NY Post is still insisting that Beyonce and Jay Z are separating soon and we should expect a divorce announcement anytime now as lawyers have been called...
Jay Z, Beyoncé, concert promoter Live Nation, HBO - and no less than four lawyers have attended an emergency meeting Thursday to address the couple’s rapidly imploding marriage, The Post has learned.
But while execs at the Thursday session wanted to put out a statement, Jay Z and Beyoncé declined - because they couldn’t agree on what it would say.
Now officials fret that the couple’s $100 million On the Run Tour might be canceled before its scheduled finale.
"This may not make it to San Francisco,” a source said. “I’m definitely not sure that they’ll make it to Paris.”
It’s gotten so bad that the couple are living separate lives even on the tour. "They’re not just staying in different hotel rooms, but they have booked separate hotels, and they arrive separately to each show,” the insider said. Time will tell.