Showing posts with label G Nako. Show all posts
Showing posts with label G Nako. Show all posts

Nov 7, 2014

NEW AUDIO: Bonta feat G-Nako– B3

  No comments    
categories: , , ,
Bonta.._full

Oct 29, 2014

Najipendelea: Rabit feat Joe Makini na Gnako

  No comments    
categories: , , , ,
Baada ya kupata nafasi ya kutimba Nairobi Kenya ndani ya Coke Studio, Joe na G naoko waliitumia fursa hiyo kufanya collable na mkali kutoka Kenya "Rabit" .Sikiliza wimbo huo "Najipendelea" hapa chini.

Sep 16, 2014

Rabbit ft. Joh Makini & G-Nako– NAJIPENDELEA

  No comments    
categories: , ,
Najipendelea promo 3

Kaa tayari: Double release ya G Nako – Jumanne 23/9/2014

  No comments    
categories: ,
download

Mkali wa single Mama Yeyo anatambulika kwa jina la kisanii G-NAKO kutoka kundi la WEUSI, Jumanne ya tarehe 23 mwezi huu wa 9 anatarajia kuachia vibao vyake viwili vikali. G-Nako nako anawaomba mashabiki wake wawe tayari kwa kumpokea na ujio mwingine na zitakuwa Exclusive on MKITO.COM, kuhusu kamshirikisha nani na kafanya studio gani majibu yote yatajulikana siku hiyo.

May 13, 2014

(New Audio) Nikki wa Pili ft. G-Nako & Ben Pol – STAKI KAZI

staki kazi_full

May 5, 2014

(New Audio) MwanaFA ft G Nako ‘mfalme’ isikilize hapa

  No comments    
categories: , ,

Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulitambulishwa kwa Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.

Sep 21, 2013

“Tafadhali” Adili Hisabati ft Salu T, Gnako na Rama Dee



Adili Hisabati amewakusanya wakali kadhaa katika ngoma aliyoipa jina la TAFADHALI. Ni ngoma  ambayo ndani inabeba ujumbe unaogusa maisha ya watu. Akiwa na G.Nako, Rama Dee na Salu T  ndani ya hii ngoma wameingiza vitu ambavyo vinamfanya msikilizaji akubali kuwa muda wa michano  real ndo huu...

Salu T ameanza na ujumbe kwa kujiamini akitaka usikie, wengi tunafahamu aina ya muziki wake ambao umesimama katika ukweli na uwazi na si promo za siku hizi. Salu T anasimamisha hiphop elimu nawe tega sikio upate  elimu tosha.

G. Nako hatabiriki na siku zote atakushangaza kwa flow kali!!! na anavyocheza na lugha. Verse yake imejaa punchlines za hatari ambazo yeye ameziwasilisha kwako kwa mtindo wa mahubiri. Huwa napenda kumsikiliza huyu jamaa kwa sababu anamitambao inayokaa kwenye mdundo vizuri.

Adili Hisabati a.k.a Chapakazi anafahamika tangu enzi zile za Choka Mbaya kipindi kile akiwa  Professor Jay na Simple X akiwa na hasira za hii game, Adili wa PEKE YANGU,Adili wa kikazi humu anamaliza verse ya mwisho.....to keep swahili hip hop alive!!!!


Isikilize TAFADHALI upate chakula cha ubongo:.